Skip to main content

Ray Vanny - Zezeta Lyrics

Baby mooh nifanye big G unitafune
Ama niwe sindano nawe uwe uzi nguo nifume
Ama niwe ndoo uwe maji yangu unawanume
Nifanye kucha kama ukiwasha mi nikukune sema mama
Niwe duka la vipodozi nikuvutie kwa kila kitu
Chumbani uwe simu unalia hata nikiku beep
Nisimame kama kinyozi nikikunyoa unanisifu
Niwe godoro na shuka nilale na wewe kila siku
Shika ufunguo gari ya bosi wangu kwako zezeta zezeta
Niko ladhi nifunge ule wewe mimi zezeta zezeta
Au unataka hati nyumba ya baba yangu kwako zezeta zezeta
Kifaranga nibebe kama mwehu mimi zezeta zezeta
Mama sitaki paka na panya vita za nyingi
Mi nataka niwe mafuta ujipakaze kote mwilini eeh
Ama niwe taulo kanga laini ukioga ninakufuta
Kutoka juu mpaka kwa chini mashallah
Ulivyo mwenzako taabani naishi muchumba siendi varandani
Tena sikufanyi vocha soko dukani
Nikutumie muchumba nikutupe jaralani sema mama
Niwe duka la vipodozi nikuvutie kwa kila kitu
Chumbani uwe simu unalia hata nikikubeep
Nisimame kama kinyozi nikikunyoa unanisifu
Niwe godoro na shuka nilale na wewe kila siku
Shika ufunguo gari ya bosi wangu kwako zezeta zezeta
Niko ladhi nifunge ule wewe mimi zezeta zezeta
Au unataka hati nyumba ya baba yangu kwako zezeta zezeta
Kifaranga nibebe kama mwehu mimi zezeta zezeta (x2)
Mashilawadu wana nyapia nyapia
Mashilawadu wana nyatia nyatia
Mashilawadu wapate kutangazia
Mashilawadu kuwa makini mama
Mashilawadu kwa kudandia dandia
Mashilawadu vya watu kupagazia
Mashilawadu macho funika pazia
Mashilawadu kuwa makini mama eeh eeh

Popular posts from this blog

Diamond Platnumz - Sikomi (Translation in English) Lyrics

Verse 1 Wanasemaga mapenzi safari,  Unavyopita ndo jinsi unajongea They say love is a journey, the more you move the closer you get (to real love) Ila niendako ni mbali sijui ka ntafika sababu natembea But it seems I'm going far, and I'm not sure I'll reach since I'm walking . Niliposikiaga Habari,  Yakisifika nikakesha nangojea I heard the news of praises (when starting off as a musician) I stayed up at night waiting Akabariki Jalali na nikawika muziki nikauotea God poured his blessings and I delved into music,  Ile pruuu mpaka Macca,  Nikadandiaga Bongo movie,  Kumbe mapenzi hayataki haraka While still in my pilgrimage (not yet 'arrived' as a musician), I hoped on to (fell in love with) a 'movie artist'  I still didn't know "love is slow"/love requires patience, there's no need to rush Ni kama tango natia tu chumyi I was impatient adding salt, eating a fruit when it wasn't yet ripe (Okay the word tango means a fr...

Beka - Natumaini Lyrics

Ni upendo, natamani nikuone japo sura iniponye… We ndio nyota yangu kama TID Nikuudhi usinikimbie kama Amini Natumaini utanielewa zaidi ya yule Beka Nikuudhi ntakubembeleza kama Barnaba boy Usininywishe sumu ya mapenzi, Usiwe mama mbaya Mimi sio mgeni wa mapenzi, mwaumivu nayajua Sio kisa pombe pombe ulonifanya niropoke Sio kisa pombe pombe ulonifanya niropoke Ooh daima na milele mi nitakuwa nawe Maisha yangu yote kama Marlaw Daima na milele eeh mimi nitakuwa nawe, maisha yangu yote aah Hutosema bora ukimbie, kama Lina ooh Usiende kwa mganga kama Kasimu ooh

Christina Shusho - Ee Bwana Umenichunguza Lyrics

Ee bwana umenichunguza, nakunijua Wewe wajua kuketi kwangu, na kuondoka kwangu Umelifahamu wazo langu, tokea mbali Umepepeta kwenda kwangu, na kulala kwangu Umeelewa na njia zangu zoote Umepepeta kwenda kwangu, na kulala kwangu Umeelewa na njia zangu zoote