Skip to main content

Beka - Natumaini Lyrics

Ni upendo, natamani nikuone japo sura iniponye…

We ndio nyota yangu kama TID
Nikuudhi usinikimbie kama Amini
Natumaini utanielewa zaidi ya yule Beka
Nikuudhi ntakubembeleza kama Barnaba boy
Usininywishe sumu ya mapenzi, Usiwe mama mbaya
Mimi sio mgeni wa mapenzi, mwaumivu nayajua
Sio kisa pombe pombe ulonifanya niropoke
Sio kisa pombe pombe ulonifanya niropoke
Ooh daima na milele mi nitakuwa nawe
Maisha yangu yote kama Marlaw
Daima na milele eeh mimi nitakuwa nawe, maisha yangu yote aah
Hutosema bora ukimbie, kama Lina ooh
Usiende kwa mganga kama Kasimu ooh




Ooh natumaini, kilio changu umesikia
Ooh natumaini, machozi yangu utafuta
Ooh natumaini, kilio changu umesikia
Ooh natumaini, machozi yangu utafuta
Aah aaah eeh aaaah eeh aaah eeh

Isiwe kama yako wapi mapenzi ooh uliyoniahidi kama yake Bela
Usinifanye mtele wa mapenzi Latifa aaya
Latifa we ndio tu mamii, Lati we ndio tu maamii
Mi nataka kuwa nawe kuwa nawewe tu
Ulonifanya kuwa nawe, kuwa nawewe tu
Embe dodo embe dodo, limelala mchangani,
Kwa uba na mazoweya uwe wangu wa milele
Mapenzi ni kuvumiliana na mimi penzi nitakuvumilia
Embe dodo embe dodo, limelala mchangani,
Kwa uba na mazoweya uwe wangu wa milele
Nitalienzi penzi lako, sitokuacha asilani
Nitalienzi penzi lako, sitokuacha asilani
Nitalienzi penzi lako, sitokuacha asilani
Nitalienzi penzi lako, sitokuacha asilani baby
Uuh ahhh

Ooh natumaini, kilio changu umesikia
Ooh natumaini, machozi yangu utafuta
Ooh natumaini, kilio changu umesikia
Ooh natumaini, machozi yangu utafuta
Aah aaah eeh aaaah eeh aaah eeh

…machozi yangu utayavuta mama… siniache miye….

Sijali umenitesa mara ngapi
Au nimelia mara ngapi
Usiniache miye, aah aah
Aah aah ooh
Usiniache miye

Popular posts from this blog

Diamond Platnumz - Sikomi (Translation in English) Lyrics

Verse 1 Wanasemaga mapenzi safari,  Unavyopita ndo jinsi unajongea They say love is a journey, the more you move the closer you get (to real love) Ila niendako ni mbali sijui ka ntafika sababu natembea But it seems I'm going far, and I'm not sure I'll reach since I'm walking . Niliposikiaga Habari,  Yakisifika nikakesha nangojea I heard the news of praises (when starting off as a musician) I stayed up at night waiting Akabariki Jalali na nikawika muziki nikauotea God poured his blessings and I delved into music,  Ile pruuu mpaka Macca,  Nikadandiaga Bongo movie,  Kumbe mapenzi hayataki haraka While still in my pilgrimage (not yet 'arrived' as a musician), I hoped on to (fell in love with) a 'movie artist'  I still didn't know "love is slow"/love requires patience, there's no need to rush Ni kama tango natia tu chumyi I was impatient adding salt, eating a fruit when it wasn't yet ripe (Okay the word tango means a fr...

Christina Shusho - Ee Bwana Umenichunguza Lyrics

Ee bwana umenichunguza, nakunijua Wewe wajua kuketi kwangu, na kuondoka kwangu Umelifahamu wazo langu, tokea mbali Umepepeta kwenda kwangu, na kulala kwangu Umeelewa na njia zangu zoote Umepepeta kwenda kwangu, na kulala kwangu Umeelewa na njia zangu zoote