Skip to main content

Ray Vanny - Mbeleko Lyrics

Wa Safi
Mmmmh
alisemanga dunia ina mapambo yake eeh
ukiacha majumba pesa magari ni wanawake eeh
nimezunguka aah, nimefika kwake eeh
siwezificha nimeshanasa
kwa pendo lake eeh
halabaani
kakuumba kimwana, mwenye sifa ya upole
ata mama kakusifu sana, kitofauti na wale (wajane)
kule nilizama tafadhali niokoe mamamaa. unipulize nipoe
We ndo my queen baby my only, sitopenda uende mbali one day x2
Naficha mbeleko kwa ajili yako (jiachie tu nikubebebe) x2
We kama mtoto mii nakubembeleza (jiachie tu nikubebe)
Na jicho lako lakungu kama la nikonyeza (jiachie tu nikubebe) eeh ummmh umh
Umenivuta kwa ulembo mpaka matendo umenikamata
kisura shepu sio tembo taweka nembo watoto kupata (x2)
koleza motoo tupike tembele kisamvu cha nazi njegele
sisi kutishe kelele sikwachi iih
Linda nashamba wasije ngedele, kuku niitee kwa muchelee
Mii sipigani na wewe manatii iih
Ndio manaa kwako nimezamaa sitaki mii wanitowee mama maaa
Unipulize nipoee
We ndo my queen baby my only, sitopenda uende mbali one day (x2)
Naficha mbeleko kwa ajili yako (jiachie tu nikubebebe) (x2)
We kama mtoto mii nakubembeleza (jiachie tu nikubebe eeh)
Na jicho lako lakungu kama lanikonyeza (jiachie tu nikubebe eeh)
Naficha mbeleko kwa ajili yako (jiachie tu nikubebe) x2
We kama mtoto mii nakubembeleza (jiachie tu nikubebe eeh)
Na jicho lako la kungu kama la nikonyeza
(jiachie tu nikubebe…jiachie tu nikubebe…jiachie tu nikubebe)
We kama mtoto mii nakubembeleza
Na jicho lako lakungu kama lanikonyeza
Ayo Laizer

Popular posts from this blog

Diamond Platnumz - Sikomi (Translation in English) Lyrics

Verse 1 Wanasemaga mapenzi safari,  Unavyopita ndo jinsi unajongea They say love is a journey, the more you move the closer you get (to real love) Ila niendako ni mbali sijui ka ntafika sababu natembea But it seems I'm going far, and I'm not sure I'll reach since I'm walking . Niliposikiaga Habari,  Yakisifika nikakesha nangojea I heard the news of praises (when starting off as a musician) I stayed up at night waiting Akabariki Jalali na nikawika muziki nikauotea God poured his blessings and I delved into music,  Ile pruuu mpaka Macca,  Nikadandiaga Bongo movie,  Kumbe mapenzi hayataki haraka While still in my pilgrimage (not yet 'arrived' as a musician), I hoped on to (fell in love with) a 'movie artist'  I still didn't know "love is slow"/love requires patience, there's no need to rush Ni kama tango natia tu chumyi I was impatient adding salt, eating a fruit when it wasn't yet ripe (Okay the word tango means a fr...

Beka - Natumaini Lyrics

Ni upendo, natamani nikuone japo sura iniponye… We ndio nyota yangu kama TID Nikuudhi usinikimbie kama Amini Natumaini utanielewa zaidi ya yule Beka Nikuudhi ntakubembeleza kama Barnaba boy Usininywishe sumu ya mapenzi, Usiwe mama mbaya Mimi sio mgeni wa mapenzi, mwaumivu nayajua Sio kisa pombe pombe ulonifanya niropoke Sio kisa pombe pombe ulonifanya niropoke Ooh daima na milele mi nitakuwa nawe Maisha yangu yote kama Marlaw Daima na milele eeh mimi nitakuwa nawe, maisha yangu yote aah Hutosema bora ukimbie, kama Lina ooh Usiende kwa mganga kama Kasimu ooh

Christina Shusho - Ee Bwana Umenichunguza Lyrics

Ee bwana umenichunguza, nakunijua Wewe wajua kuketi kwangu, na kuondoka kwangu Umelifahamu wazo langu, tokea mbali Umepepeta kwenda kwangu, na kulala kwangu Umeelewa na njia zangu zoote Umepepeta kwenda kwangu, na kulala kwangu Umeelewa na njia zangu zoote