Skip to main content

Harmonize - Show Me (Unavyo Densi) ft. Rich Mavoko Lyrics

Ai mwenzako I feel so Good, kipindi nikikuona
Au Huo Mwendo Unafanya kusudi na Ulivyoshona
Wakati Unakwenda au unarudi wakata Kona
Nyuma Ka Katuni za Masudi UlivyoNona
Hivi Unapenda wa Vifua ka Roboti ama Sanamu
Au wazee wa Kununua Mwaga Noti akina Salamu
Ooooh Anita macho kama unaniita, aaah saa Sita
Shepu Vera Sidika aaah
Anita Macho kama Unaiita aaah saa Sita Shepu Vera..
Ah Show Me Show Me Show Me ( Unavyodance)
Show Me Show Me Show Me (Waonyeshe Unavyodance) (x2)
Umenifinyanga kama Dona Mmakonde na Ndonya
Kama Mpira Maradona Kichuya Kona
Na wakisema Na mawenge Waambie Werrason
Wakiringisha Peremende Nitakugawia koni
Chunga Kipenzi Majaribu Mabaya sana Oooh
Na wee Ndo Dokta wa Kunitibu Niwe Salama Ooooh
Oooh baby Anita macho kama Unaniita aaah
Saa Sita Kiuno ka Yondo Sister aaaah
Anita macho kama Unaniita aaaah
Saa Sita Kiuno ka Yondo Sister
Ah Show Me Show Me Show Me ( Unavyodance)
Show Me Show Me Show Me (Waonyeshe Unavyodance) (x2)
Asa Mombasa Nairobi (Sakata Dance)
Kampala Kigali (Sakata Dance)
Zimbambwe Kwatobi (Sakata Dance)
Naija Somali ( Toto Sakata Dance)
Wanangu wa Panya Road (Sakata Dance)
Chaukucha kwa Sadali (Sakata Dance)
Na Unyamani Biomi (Sakata Dance)
Kizonga kwa Natali (Toto Sakata Dance)
Aaaah …. aaaah …. aaaa… (Unavyodance) (Waonyeshe Unavyodance)

Popular posts from this blog

Diamond Platnumz - Sikomi (Translation in English) Lyrics

Verse 1 Wanasemaga mapenzi safari,  Unavyopita ndo jinsi unajongea They say love is a journey, the more you move the closer you get (to real love) Ila niendako ni mbali sijui ka ntafika sababu natembea But it seems I'm going far, and I'm not sure I'll reach since I'm walking . Niliposikiaga Habari,  Yakisifika nikakesha nangojea I heard the news of praises (when starting off as a musician) I stayed up at night waiting Akabariki Jalali na nikawika muziki nikauotea God poured his blessings and I delved into music,  Ile pruuu mpaka Macca,  Nikadandiaga Bongo movie,  Kumbe mapenzi hayataki haraka While still in my pilgrimage (not yet 'arrived' as a musician), I hoped on to (fell in love with) a 'movie artist'  I still didn't know "love is slow"/love requires patience, there's no need to rush Ni kama tango natia tu chumyi I was impatient adding salt, eating a fruit when it wasn't yet ripe (Okay the word tango means a fr...

Beka - Natumaini Lyrics

Ni upendo, natamani nikuone japo sura iniponye… We ndio nyota yangu kama TID Nikuudhi usinikimbie kama Amini Natumaini utanielewa zaidi ya yule Beka Nikuudhi ntakubembeleza kama Barnaba boy Usininywishe sumu ya mapenzi, Usiwe mama mbaya Mimi sio mgeni wa mapenzi, mwaumivu nayajua Sio kisa pombe pombe ulonifanya niropoke Sio kisa pombe pombe ulonifanya niropoke Ooh daima na milele mi nitakuwa nawe Maisha yangu yote kama Marlaw Daima na milele eeh mimi nitakuwa nawe, maisha yangu yote aah Hutosema bora ukimbie, kama Lina ooh Usiende kwa mganga kama Kasimu ooh

Christina Shusho - Ee Bwana Umenichunguza Lyrics

Ee bwana umenichunguza, nakunijua Wewe wajua kuketi kwangu, na kuondoka kwangu Umelifahamu wazo langu, tokea mbali Umepepeta kwenda kwangu, na kulala kwangu Umeelewa na njia zangu zoote Umepepeta kwenda kwangu, na kulala kwangu Umeelewa na njia zangu zoote