Skip to main content

Harmonize - Happy Birthday Lyrics

Kwanza nina furaha nitaimba na kucheza (na kucheza)
Washa mishumaa weka keki juu ya meza (juu ya meza)
Oh ila usinicheke nimekuletea zawadi kidogo nilichobarikiwa
Aki mwana mpweke aje na dumu la maji asije kakumwagia
Ah na kapicha kako nitakoposti wasiokupenda itawacosti
Ah leo siku yako nishajikoki tuko rafiki zako tunasema
Happy birthday
Happy birthday to you X4
Ah sinywagi pombe leo ntalewa niwape shonde waliochelewa
Zikinipanda monde nitapepewa ah pembe la ng’ombe au malewa
Ila usiforget kusema asante baba na mama walokukuza ukakua
Tunakupa na keki kwa wema akulinde baba maulana twakuombea na dua
Ah na kapicha kako nitakoposti wasiokupenda itawacosti
Ah leo siku yako nishajikoki tuko rafiki zako tunasema
Happy birthday
Happy birthday to you X4
Kata keki kata (kata) oh kata (kata) kata (kata) kata unilishe
keki ya jina lako (kata) walishe na wenzako (kata) tupo kwa ajili yako (kata) Kata unilishe
Oh basi kata (kata) oh kata (kata) kata nipone (kata) kata (kata unilishe)
Kata … Kata…Kata…Kata unilishe
Ah na kapicha kako nitakoposti

Popular posts from this blog

Diamond Platnumz - Sikomi (Translation in English) Lyrics

Verse 1 Wanasemaga mapenzi safari,  Unavyopita ndo jinsi unajongea They say love is a journey, the more you move the closer you get (to real love) Ila niendako ni mbali sijui ka ntafika sababu natembea But it seems I'm going far, and I'm not sure I'll reach since I'm walking . Niliposikiaga Habari,  Yakisifika nikakesha nangojea I heard the news of praises (when starting off as a musician) I stayed up at night waiting Akabariki Jalali na nikawika muziki nikauotea God poured his blessings and I delved into music,  Ile pruuu mpaka Macca,  Nikadandiaga Bongo movie,  Kumbe mapenzi hayataki haraka While still in my pilgrimage (not yet 'arrived' as a musician), I hoped on to (fell in love with) a 'movie artist'  I still didn't know "love is slow"/love requires patience, there's no need to rush Ni kama tango natia tu chumyi I was impatient adding salt, eating a fruit when it wasn't yet ripe (Okay the word tango means a fr...

Beka - Natumaini Lyrics

Ni upendo, natamani nikuone japo sura iniponye… We ndio nyota yangu kama TID Nikuudhi usinikimbie kama Amini Natumaini utanielewa zaidi ya yule Beka Nikuudhi ntakubembeleza kama Barnaba boy Usininywishe sumu ya mapenzi, Usiwe mama mbaya Mimi sio mgeni wa mapenzi, mwaumivu nayajua Sio kisa pombe pombe ulonifanya niropoke Sio kisa pombe pombe ulonifanya niropoke Ooh daima na milele mi nitakuwa nawe Maisha yangu yote kama Marlaw Daima na milele eeh mimi nitakuwa nawe, maisha yangu yote aah Hutosema bora ukimbie, kama Lina ooh Usiende kwa mganga kama Kasimu ooh

Christina Shusho - Ee Bwana Umenichunguza Lyrics

Ee bwana umenichunguza, nakunijua Wewe wajua kuketi kwangu, na kuondoka kwangu Umelifahamu wazo langu, tokea mbali Umepepeta kwenda kwangu, na kulala kwangu Umeelewa na njia zangu zoote Umepepeta kwenda kwangu, na kulala kwangu Umeelewa na njia zangu zoote