Skip to main content

Darassa - Hasara Roho Lyrics

Ah kama unataka kiki kwa pikipiki
Mara black mara white vipi
Kama unatikisa kibiriti
I play no game I’m sorry rafiki
Ukija kama upepo utapepea
Ukijifanya una mapepo tunakemea
Kama unataka mchezo kawashe runinga
Siku hizi hakuna mtu anataka ujinga
Ujanja wa nyani mjini utaingia kingi
Meli inaelea feri inazama shilingi
Haraka na harakati zako za pimbi
Unataka kucheza wewe na ushike filimbi
Binadamu angekua neja
Maneno yangeshutiki kama risasi
Vitu vingine vikienda
Havirudi reverse kama samaki
Hasara roho inachopenda tunasemaga pesa makaratasi
Hakuna wasiwasi tukaze mwendo ili tuende na wakati eh
Tuweke tuzo za wachukiaji
Bongo kuna watu wana vipaji
Utarusha madongo kwenye maji
Bora upige michongo utanipa midadi
Mara chenga mara no networki
Zigizaga vitu havieleweki
Life siku hizi imezidi kuwa complicate
Ukichanganya na mambo ya internet (jeraha)
Mwisho utatukana picha ukutani (jeraha)
Si atutafuti mchawi nani
Sasa chagua utajifungia chumbani
Au unatoka goma lipo uwanjani
Kushoto kulia juu chini kamatia
Mzigo wa abiria dereva dakia
Kichwa cha panzi alewe sifa kama pia
Situko serious we unatuactia eh
Binadamu angekua neja
Maneno yangeshutiki kama risasi
Vitu vingine vikienda
Havirudi reverse kama samaki
Hasara roho inachopenda tunasemaga pesa makaratasi
Hakuna wasiwasi tukaze mwendo ili tuende na wakati
(eh na wakati eh)
Utasema nakudisi
Ila mi mwenyewe unanimix
Mengine ni madalansi na sura ya machungwa utajua vipi
Kuji switch switch
Nusu viatu mtu fifty fifty
Hujafai hutaki chai moja haikai mbili haifai we wapi una fit eh (eh)

Popular posts from this blog

Rayvanny ft. Zuchu - Number ONE (English Translation)

Verse 1: Rayvanny: Macho yalikuona, moyo ukakuchagua - My eyes saw you, and my heart chose you Mdomo ukasema nakupenda aah - My mouth said, "I love you"  Mwambie umepona alokutesa moyo kuusumbua - Tell whoever heart you before that you're now alright Maumivu yamekwenda - All the pain of the past is now gone.  We ni zawadi nilopewa - You're the gift that I was given Macho nipepese wapi - Where else shall I look, I have only eyes for you Mi kipofu kwako sioni - I'm like a blind man, my vision is only for you Penzi limetaratadi, napepewa - My love, you confuse me with  Harufu ya marashirashi - The scents of your perfume   Nikitouch touch shingoni -  whenever I touch your neck Uvae baibui khanga,  Viatu vya kuchuchumia kangaroo,  Kisimatui tanga,  We huba nifukizia pambe tu Ukizungushia shanga, Inashuka inapanda chini juu, Nishatafuna karanga, Sasa chumba ndo kiwanda watoto tu iyee iyee ( You look good both with a buibui (shawl), or a khang...

Diamond Platnumz - Sikomi (Translation in English) Lyrics

Verse 1 Wanasemaga mapenzi safari,  Unavyopita ndo jinsi unajongea They say love is a journey, the more you move the closer you get (to real love) Ila niendako ni mbali sijui ka ntafika sababu natembea But it seems I'm going far, and I'm not sure I'll reach since I'm walking . Niliposikiaga Habari,  Yakisifika nikakesha nangojea I heard the news of praises (when starting off as a musician) I stayed up at night waiting Akabariki Jalali na nikawika muziki nikauotea God poured his blessings and I delved into music,  Ile pruuu mpaka Macca,  Nikadandiaga Bongo movie,  Kumbe mapenzi hayataki haraka While still in my pilgrimage (not yet 'arrived' as a musician), I hoped on to (fell in love with) a 'movie artist'  I still didn't know "love is slow"/love requires patience, there's no need to rush Ni kama tango natia tu chumyi I was impatient adding salt, eating a fruit when it wasn't yet ripe (Okay the word tango means a fr...

Beka - Natumaini Lyrics

Ni upendo, natamani nikuone japo sura iniponye… We ndio nyota yangu kama TID Nikuudhi usinikimbie kama Amini Natumaini utanielewa zaidi ya yule Beka Nikuudhi ntakubembeleza kama Barnaba boy Usininywishe sumu ya mapenzi, Usiwe mama mbaya Mimi sio mgeni wa mapenzi, mwaumivu nayajua Sio kisa pombe pombe ulonifanya niropoke Sio kisa pombe pombe ulonifanya niropoke Ooh daima na milele mi nitakuwa nawe Maisha yangu yote kama Marlaw Daima na milele eeh mimi nitakuwa nawe, maisha yangu yote aah Hutosema bora ukimbie, kama Lina ooh Usiende kwa mganga kama Kasimu ooh