Skip to main content

Posts

Showing posts from September, 2016

Jah Prayzah ft. Diamond - "Watora" Mari Lyrics

Jah Prayza oh darling, ukazunza mazakwatira watora mari,oh mari mama, oh darling, ano mira mira apa newe ndiani, wakanga uripiko inini ndiripo coz am falling every minute for you, i don't wanna let you go, baby show me something more, coz am falling every minute for you,

Chege - "Waache Waoane" ft. Diamond Platnumz Lyrics

Maji ya mtoto yamekuwa baridi lalalalaaaa Hakimu nimekuwa shaidi lalalalaa wiki ikishusha mateso yamezidi lalalalaa aloniliza ndo wakunikufariji lalalaaa Waache waoane waache waoane waache waoane waache waoane Yamedhibitisha macho lakini moyo unakataa Nimeamini kikulacho Ni yule unaona anakufaa

Diamond Platnumz ft. RayVanny - "Salome" Lyrics

Watch [Verse 1: RayVanny] Kioo hakidanganyi mama Umejipodoa umepodoka Mwendo na shape vyote mwanana Mi suruali yanidondoka Tukimbizane nini Salome wangu? Hiyo michezo ya jogoo Mbona watizama chini Salome wangu? Ukimuona jongoo Inama kidogo Shika magoti Mi nimesimama kama ngongoti Mtoto jojo sio roboti Chumbani bingiribingiri 'samasoti' [Chorus: Diamond Platnumz] Unantenkenyaga ukinyonga Salome (Unantekenyaga ukinyongaa) Unantenkenyaga ukinyonga kweli (Unantekenyaga ukinyongaa) Aaah orera bakuru vani Orera ngambee Orera na Zari ma Orera ngambe