[Verse 1]  Hhhm Hhhm  Hali Yangu Mbaya  Anifikiria akipata muda (Akipata muda)  Moyo ameshaugawa  Pakacha penzi linavuja (Limeshavuja)  Mwenzie nna pagawa nahisi uchizi  Na network haisomi  Hhhm  Anayofanya si sawa nakosa usingizi  Mwilini miwasho na vichomi  Eeeiiihh!!   [Bridge]  Mwambiee....!  Kuachwa mateso nasulubiwa  Mwenzie....!  Yatima wa penzi mwana mkiwa  Oh mie eeh!  Mapenzi ugonjwa nimezidiwa  Ni yeye..!  Mwengine sioni kunitibia  Uh!   [Chorus]  Kilio Oh Kilio Oh  Kilio na penzi langu  Kilio Oh Kilio Oh  Huruma Haana  Kilio Oh Kilio Oh  Yarabi Mola wangu  Kilio Oh Kilio Oh  Japo simama   [Verse 2]  Yee ndio barafu Niliemlia yamini  Pemba karafu marashi yangu mwilini  Utamu wa ndafu Mbona ameuitia kwinini  Amenichezea rafu Penzi amelikafili  Eh..!  Yee anajivinjali mwenzake nadoda  Napata tu habari anagawa uroda  Tetemeko moyo kupenda uoga  Najiepusha mbali kukwepa vihoja   [Bridge]  Mwambiee....!  Kuachwa mateso nasulubiwa  Mwenzie....!  Yatima wa penzi mwana mkiwa  Oh...
Get Your Lyrics Here