Bado nasimama   Bado naendelea   Bado najikaza   Nifike kule   Verse 1   Bila nehema na rehema zako, ningekuwa wapi Mimi  Bila upendo, na fadhili zako, maisha yangu yangekuwa bure  Kwa wema wako, kanisimamisha,  Na Imani yangu, ukaiweka salama  Kama si wewe, Mwamba wa wokovu wangu  Nisingeweza. Ningeangamia.   Chorus x2  Bado  nasimama    Bado  naendelea    Bado  najikaza    Nifike  kule    Verse 2   Nainua macho yangu kwako wewe Baba yangu  Msaada wangu utatoka wapi?  Msaada wangu ukatika bwana  Hasinzii anilindaye, Haniachi mimi niteleze  Anipa nguvu, na uwezo wake,   Ili mimi nifike kule  Nifike kule…  
Get Your Lyrics Here